Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Uncategorized

Naibu Wziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe. Salha Mohammed Mwinyjuma amesema ziara za ufatiliaji wa Migogoro ya Ardhi ambayo huwasilishwa Wizarani kupitia Kamati ya Usuluhishi wa Migogoro ya Ardhi zinalenga katika kujiridhisha ili kuweza kupata ufumbuzi wa kisheria bila kumdhulumu Mwananchi yoyote.

Ameyasema hayo huko Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja katika ziara zake za ufatiliaji wa Migogoro ya Ardhi ilioko Paje na Kizimkazi inayohusisha uvamizi wa maeneo kinyume na utaratibu wa makubaliano ya wahusika. Aidha amesema kuwa Wizara kupitia Kamati ya Usuluhishi na utatuzi wa Migogoro ya Ardhi mara baada ya kupokea malalamiko ya Wananchi yanayohusiana na […]

Naibu Wziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe. Salha Mohammed Mwinyjuma amesema ziara za ufatiliaji wa Migogoro ya Ardhi ambayo huwasilishwa Wizarani kupitia Kamati ya Usuluhishi wa Migogoro ya Ardhi zinalenga katika kujiridhisha ili kuweza kupata ufumbuzi wa kisheria bila kumdhulumu Mwananchi yoyote. Read More »

VIONGOZI NA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ARDHINA MAENDELEO YA MAKAAZI ZANZIBAR, WANATOA SALAMU ZA POLE KWA MH. RAIS WA ZANZIBAR NAMWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, PAMOJANA FAMILIA KWA UJUMLA KWA MSIBA MZITO WA KUONDOKEWA NA BABA YETU MPENDWA MAREHEMU MHE. ALI HASSAN MWINYI

VIONGOZI NA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ARDHINA MAENDELEO YA MAKAAZI ZANZIBAR, WANATOA SALAMU ZA POLE KWA MH. RAIS WA ZANZIBAR NAMWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, PAMOJANA FAMILIA KWA UJUMLA KWA MSIBA MZITO WA KUONDOKEWA NA BABA YETU MPENDWA MAREHEMU MHE. ALI HASSAN MWINYI Read More »

WIZARA YA ARDHI NA BENKI YA DUNIA ZALENGA KUANZISHA KITUO CHA UBUNIFU NA MAFUNZO YA TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA (ZANZIBAR GEO-INNOVATION CENTER)

Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi kwa kushirikiana na Benki ya Dunia wanatarajia kuanzisha kituo cha kisasa kitakachosaidia katika masuala ya Ubunifu na mafunzo ya taarifa za kijiografia (Zanzibar Geo-Innovation Center)  ili kuibua wataalamu na wabunifu katika sekta hiyo. Kauli hiyo imetolewa na katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhandisi Dkt. Mngereza

WIZARA YA ARDHI NA BENKI YA DUNIA ZALENGA KUANZISHA KITUO CHA UBUNIFU NA MAFUNZO YA TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA (ZANZIBAR GEO-INNOVATION CENTER) Read More »

WAZIRI RAHMA KASSIM ALI AAHIDI KUPATIA UFUMBUZI MGOGORO WA ARDHI NDUNDUKE NDANI YA KIPINDI KIFUPI

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe. Rahma Kassim Ali amesema Wizara itaupatia ufumbuzi mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa muda mrefu kwa wananchi wa Ndunduke  ili kuondosha sitomfahamu na hatimae kuwaruhusu wananchi kuendelea na harakati zao. Mhe. Waziri Rahma Kassim Ali ameeleza hayo wakati alipofika katika eneo hilo la mgogoro liliopo Dole Wizlaya ya

WAZIRI RAHMA KASSIM ALI AAHIDI KUPATIA UFUMBUZI MGOGORO WA ARDHI NDUNDUKE NDANI YA KIPINDI KIFUPI Read More »

DK. MNGEREZA: SMZ IMEFUNGUA MILANGO YAKE KWA KUWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUJA KUEKEZA ZANZIBAR

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  imeweka mazingira rafiki kwa kuzifanyia marekebisho sheria zake ili kutoa fursa kwa wawekezaji kuja kuekeza Zanzibar. Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Dkt. Mngereza Mzee Miraji ameeleza hayo katika mazungumzo maalum yaliowashirikisha ujumbe kutoka European Mortgage Federation na taasisi inayoshughulikia masuala ya mikopo ya ujenzi wa nyumba ya

DK. MNGEREZA: SMZ IMEFUNGUA MILANGO YAKE KWA KUWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUJA KUEKEZA ZANZIBAR Read More »

DKT. MNGEREZA MZEE MIRAJI ALISHIRIKI MKUTANO WA 57 WA HALMASHAURI YA UONGOZI WA REGIONAL CENTER FOR MAPPING OF RESOURCES FOR DEVELOPMENT (RCMRD) ULIO JUMUISHA MAKATIBU WAKUU KUTOKA BOTSWANA, BURUNDI, COMOROS, ESWATINI, ETHIOPIA, KENYA, LESOTHO, MALAWI, MAURITIUS, NAMIBIA, RWANDA, SUDAN, SOUTH AFRICA, SOUTH SUDAN, TANZANIA, UGANDA, ZAMBIA NA ZIMBABWE ULIOFANYIKA RCMRD COMPLEX, NAIROBI, KENYA KUANZIA TAREHE 16 HADI 18 NOVEMBA 2023.

DKT. MNGEREZA MZEE MIRAJI ALISHIRIKI MKUTANO WA 57 WA HALMASHAURI YA UONGOZI WA REGIONAL CENTER FOR MAPPING OF RESOURCES FOR DEVELOPMENT (RCMRD) ULIO JUMUISHA MAKATIBU WAKUU KUTOKA BOTSWANA, BURUNDI, COMOROS, ESWATINI, ETHIOPIA, KENYA, LESOTHO, MALAWI, MAURITIUS, NAMIBIA, RWANDA, SUDAN, SOUTH AFRICA, SOUTH SUDAN, TANZANIA, UGANDA, ZAMBIA NA ZIMBABWE ULIOFANYIKA RCMRD COMPLEX, NAIROBI, KENYA KUANZIA TAREHE 16 HADI 18 NOVEMBA 2023. Read More »