-
Picha ya pamoja ya viongozi wakuu na wafanyakazi wa Wizara ya ardhi na Maendeleo ya Makaazi mara baada
ya kupitishwa kwa bajeti ya Wizara hiyo kwamwaka wa fedha 2023-2024 huko baraza la wawakilishi chukwani
-
Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi (SMZ) na Wizara ya Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makaazi ( SMT) wamesaini Hati ya
Makubaliano ( MoU) mradi wa Uborejeshaji Usalama wa miliki za Ardhi, hafla ya utiaji saini imefanyika Mei 20, 2023 mjini Dodoma, kwa upande wa SMZ amesaini Katibu Mkuu Dkt.Mngereza Mzee Miraji na kwa upande wa SMT amesaini Katibu Mkuu Mhandisi Anthony Sanga
-
Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi (WAMM) tarehe 03/04/2023 imesaini Hati ya Makubaliano na Kampuni ya Kitaifa
ya Kijiografia na Misitu (IGN FI) ya Ufaransa kuhusu Mradi wa Taarifa za Usimamizi na Usajili wa Ardhi Zanzibar.
-
Mradi wa Nyumba za Makaazi na Biashara Mombasa kwa mchina Unguja, ambao umeanza kujengwa Machi mwaka 2023 na unategemewa kumaliza ndani ya kipindi cha miezi 15
-
Picha ya pamoja kati ya Uongozi wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar, Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika
la Nyumba na Menejiment ya Shirika mara baada ya uzinduzi wa bodi hiyo
-
Mradi wa Nyumba za Makaazi na Biashara zinazojengwa Mkungu Malofa Chake chake Pemba
-
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Dkt. Mngereza Mzee Miraji akiongoza kikao cha pamoja na wataalamu
wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makaazi SMT pamoja na mtaalamu Mr. Munseok Lee kutoka Kampuni ya Hojung
Solution Co Ltd , wakijadiliana kuhusiana na uanzishwaji wa Kituo cha Ubunifu cha Mambo ya Kijografia Zanzibar ( Zanzibar
Geo-Innovation Centre ) na mradi wa National Spatial Data Infrastructure –NSDI. kikao kilicho fanyika tarehe 18/09/2023
Ukumbi wa Wizara Maisara Zanzibar.
-
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi (WAMM) Dkt. Mngereza Mzee Miraji ( kulia ) na Meneja Mkuu wa
Kampuni ya ujenzi ya Zanzibar and Weihai Huatan Company Limited wakisaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa mradi wa
nyumba za bei nafuu Zanzibar.Hafla ya utiaji saini imefanyika September 23, 2023, katika ukumbi wa Golden Tulip, Kiembe
Samaki, Airport Zanzibar.
-
Dkt. mngereza mzee miraji wanne kulia akiwa katika picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa 57 wa Halmashauri
ya Uongozi wa Regional Center for Mapping of Resources for Development (RCMRD) ulio jumuisha makatibu wakuu
kutoka Botswana, Burundi, Comoros, Eswatini, Ethiopia, Kenya, Lesotho, Malawi, Mauritius, Namibia, Rwanda, Sudan,
South Africa, South Sudan, Tanzania, Uganda, Zambia na Zimbabwe uliofanyika RCMRD Complex, Nairobi, Kenya
tarehe 16 hadi 18 Novemba 2023.
-
Dkt. mngereza mzee miraji wanne kulia akiwa katika picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa 57 wa Halmashauri
ya Uongozi wa Regional Center for Mapping of Resources for Development (RCMRD) ulio jumuisha makatibu wakuu
kutoka Botswana, Burundi, Comoros, Eswatini, Ethiopia, Kenya, Lesotho, Malawi, Mauritius, Namibia, Rwanda, Sudan,
South Africa, South Sudan, Tanzania, Uganda, Zambia na Zimbabwe uliofanyika RCMRD Complex, Nairobi, Kenya
tarehe 16 hadi 18 Novemba 2023.
-
Dkt. mngereza mzee miraji wanne kulia akiwa katika picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa 57 wa Halmashauri
ya Uongozi wa Regional Center for Mapping of Resources for Development (RCMRD) ulio jumuisha makatibu wakuu
kutoka Botswana, Burundi, Comoros, Eswatini, Ethiopia, Kenya, Lesotho, Malawi, Mauritius, Namibia, Rwanda, Sudan,
South Africa, South Sudan, Tanzania, Uganda, Zambia na Zimbabwe uliofanyika RCMRD Complex, Nairobi, Kenya
tarehe 16 hadi 18 Novemba 2023.