Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Usajili

Utawala wa Ardhi

Utafiti

Huduma kwa Wateja

Mhe. Rahma Kassim Ali

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi

Karibu Wizara ya Ardhi

Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi imeanzishwa kwa tangazo la kisheria Nam: 137 ya mwaka 2020 na Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi na kuainisha majukumu ya wizara na taasisi zitakazoundwa katika kusimamia Ardhi na Makaazi bora kwa jamii.

DIRA

Kuwa muhimili wa uhakika na wa usalama wa umiliki na matumizi ya Ardhi na Makaazi endelevu kwa maendeleo ya kiuchumi Zanzibar.

Dhamira

Kuhakikisha kwamba Ardhi ya Zanzibar inatoa mchango mkubwa kwa ustawi wa Taifa kupitia mipango bora ya matumizi ya Ardhi kwa ajili ya huduma za makaazi na kiuchumi