Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

2024

VIONGOZI NA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ARDHINA MAENDELEO YA MAKAAZI ZANZIBAR, WANATOA SALAMU ZA POLE KWA MH. RAIS WA ZANZIBAR NAMWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, PAMOJANA FAMILIA KWA UJUMLA KWA MSIBA MZITO WA KUONDOKEWA NA BABA YETU MPENDWA MAREHEMU MHE. ALI HASSAN MWINYI

VIONGOZI NA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ARDHINA MAENDELEO YA MAKAAZI ZANZIBAR, WANATOA SALAMU ZA POLE KWA MH. RAIS WA ZANZIBAR NAMWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, PAMOJANA FAMILIA KWA UJUMLA KWA MSIBA MZITO WA KUONDOKEWA NA BABA YETU MPENDWA MAREHEMU MHE. ALI HASSAN MWINYI Read More »

WIZARA YA ARDHI NA BENKI YA DUNIA ZALENGA KUANZISHA KITUO CHA UBUNIFU NA MAFUNZO YA TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA (ZANZIBAR GEO-INNOVATION CENTER)

Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi kwa kushirikiana na Benki ya Dunia wanatarajia kuanzisha kituo cha kisasa kitakachosaidia katika masuala ya Ubunifu na mafunzo ya taarifa za kijiografia (Zanzibar Geo-Innovation Center)  ili kuibua wataalamu na wabunifu katika sekta hiyo. Kauli hiyo imetolewa na katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhandisi Dkt. Mngereza

WIZARA YA ARDHI NA BENKI YA DUNIA ZALENGA KUANZISHA KITUO CHA UBUNIFU NA MAFUNZO YA TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA (ZANZIBAR GEO-INNOVATION CENTER) Read More »

WAZIRI RAHMA KASSIM ALI AAHIDI KUPATIA UFUMBUZI MGOGORO WA ARDHI NDUNDUKE NDANI YA KIPINDI KIFUPI

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe. Rahma Kassim Ali amesema Wizara itaupatia ufumbuzi mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa muda mrefu kwa wananchi wa Ndunduke  ili kuondosha sitomfahamu na hatimae kuwaruhusu wananchi kuendelea na harakati zao. Mhe. Waziri Rahma Kassim Ali ameeleza hayo wakati alipofika katika eneo hilo la mgogoro liliopo Dole Wizlaya ya

WAZIRI RAHMA KASSIM ALI AAHIDI KUPATIA UFUMBUZI MGOGORO WA ARDHI NDUNDUKE NDANI YA KIPINDI KIFUPI Read More »

DK. MNGEREZA: SMZ IMEFUNGUA MILANGO YAKE KWA KUWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUJA KUEKEZA ZANZIBAR

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  imeweka mazingira rafiki kwa kuzifanyia marekebisho sheria zake ili kutoa fursa kwa wawekezaji kuja kuekeza Zanzibar. Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Dkt. Mngereza Mzee Miraji ameeleza hayo katika mazungumzo maalum yaliowashirikisha ujumbe kutoka European Mortgage Federation na taasisi inayoshughulikia masuala ya mikopo ya ujenzi wa nyumba ya

DK. MNGEREZA: SMZ IMEFUNGUA MILANGO YAKE KWA KUWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUJA KUEKEZA ZANZIBAR Read More »