Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

2024

Ziara ya Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe.Rahma Kassim Ali akiongozana na watendaji wakuu wa taasisi hiyo katika ziara ya kutembelea hatua ya ujenzi wa miradi ya shirika la nyumba Zanzibar huko tibirinzi na mabatini mkoa wa Kusini Pemba.

Ziara ya Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe.Rahma Kassim Ali akiongozana na watendaji wakuu wa taasisi hiyo katika ziara ya kutembelea hatua ya ujenzi wa miradi ya shirika la nyumba Zanzibar huko tibirinzi na mabatini mkoa wa Kusini Pemba. Read More »

Naibu Waziri Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar.Mhe. Salha Muhammed Mwinjuma amesema Wizara itahakikisha itawalipa fidia wananchi wote ambao vipando vyao viliathiriwa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Nyumba za gharama nafuu ambapo zinatarajiwa kujengwa katika eneo la Chumbuni.

Mhe. Salha ameyasema hayo wakati wa kikao cha pamoja baina ya Uongozi wa Wizara, Mkoa, Jimbo na wananchi huko Chumbuni Mkoa wa Mjini Magharibi kuwa Serikali ipo tayari kwa ujenzi huo na inaendelea na zoezi la uthamini katika eneo hilo pia hakuna mwananchi atakaedhulumiwa wala kukosa haki zake juu ya fidia hiyo kulingana na miongozo

Naibu Waziri Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar.Mhe. Salha Muhammed Mwinjuma amesema Wizara itahakikisha itawalipa fidia wananchi wote ambao vipando vyao viliathiriwa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Nyumba za gharama nafuu ambapo zinatarajiwa kujengwa katika eneo la Chumbuni. Read More »

Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar Pamoja na Kampuni ya Weihai Huatun Company Ltd ya China. Wamesaini Mkataba wa Ujenzi wa Nyumba Elfu Tatu (3000) za Makaazi na Bei nafuu kwa Upande wa Unguja. Mkataba huo umesainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Ndg. Khadija Khamisi Rajab na Ndg, Xiangyu Wang Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kampuni hiyo.

Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar Pamoja na Kampuni ya Weihai Huatun Company Ltd ya China. Wamesaini Mkataba wa Ujenzi wa Nyumba Elfu Tatu (3000) za Makaazi na Bei nafuu kwa Upande wa Unguja. Mkataba huo umesainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Ndg. Khadija Khamisi Rajab na Ndg, Xiangyu Wang Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kampuni hiyo. Read More »

Wafanyabiashara wa mabanda ya papa katika eneo la Malindi wamempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kuwatatulia kilio chao cha muda mrefu cha kushushiwa bei ya kodi kwa milango wanayoitumia inayomilikiwa na Shirika la Nyumba Zanzibar.

Wafanyabiashara wa mabanda ya papa katika eneo la Malindi wamempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kuwatatulia kilio chao cha muda mrefu cha kushushiwa bei ya kodi kwa milango wanayoitumia inayomilikiwa na Shirika la Nyumba Zanzibar.Wafanyabiasha hao wametoa pongezi hizo wakati Naibu Waziri wa wizara ya Ardhi

Wafanyabiashara wa mabanda ya papa katika eneo la Malindi wamempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kuwatatulia kilio chao cha muda mrefu cha kushushiwa bei ya kodi kwa milango wanayoitumia inayomilikiwa na Shirika la Nyumba Zanzibar. Read More »

Watendaji wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kupitishwa kwa bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya kwa mwaka wa fedha 2024/2025.katika ukumbi wa baraza la wawakilishi chukwani.

Watendaji wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kupitishwa kwa bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya kwa mwaka wa fedha 2024/2025.katika ukumbi wa baraza la wawakilishi chukwani. Read More »

MWENYEKITI WA TAASISI YA HANIIMOHAMED FOUNDATION NDG.HANII MOHAMMED KHAMIS AKIMKABIDHI CHETI CHA PONGEZI NAIBU WAZIRI WAZIRI WA ARDHI NA MAENDELEO YA MHE.SALHA MOHAMMED MWINJUMA KWA KUTEULIWA KUSHIKA WADHIFA HUO HUKO KATIKA OFISI YA WIZARA YA ARDHI MAISARA.

MWENYEKITI WA TAASISI YA HANIIMOHAMED FOUNDATION NDG.HANII MOHAMMED KHAMIS AKIMKABIDHI CHETI CHA PONGEZI NAIBU WAZIRI WAZIRI WA ARDHI NA MAENDELEO YA MHE.SALHA MOHAMMED MWINJUMA KWA KUTEULIWA KUSHIKA WADHIFA HUO HUKO KATIKA OFISI YA WIZARA YA ARDHI MAISARA. Read More »

Ziara ya katibu mkuu na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi ndg.khadija khamis Rajabu akiongozana na watendaji wa taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo kutembelea maeneo mbalimbali yalitengwa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu.

Ziara ya katibu mkuu na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi ndg.khadija khamis Rajabu akiongozana na watendaji wa taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo kutembelea maeneo mbalimbali yalitengwa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu. Read More »