Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

news

Mkurugenzi Ldara Ya Utumishi Na Uendeshaji Kutoka Wizara Ya Ardhi Na Maendeleo Ya Makaazi Bi.Khamisuu Hamid Mohammed Amesema Mfumo Wa Manunuzi Kwa Njia Ya Kimtandao Utawezesha Taasisi Kufanyakazi Kwa Ufanisi Na Kuondokana Na Udanganyifu.

Akizungumza wakati alipokua  akifungua  mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi kupitia mfumo mpya wa manunuzi kimtandao Mkurugenzi Hamisuu aliwataka wafanyakazi hao kuyatumia ipasavyo mafunzo hayo ili kuweza kufikia lengo lililokusudiwa. Alifahamisha kua mfumo huo ambao ulizinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwentekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali […]

Mkurugenzi Ldara Ya Utumishi Na Uendeshaji Kutoka Wizara Ya Ardhi Na Maendeleo Ya Makaazi Bi.Khamisuu Hamid Mohammed Amesema Mfumo Wa Manunuzi Kwa Njia Ya Kimtandao Utawezesha Taasisi Kufanyakazi Kwa Ufanisi Na Kuondokana Na Udanganyifu. Read More »

WAZIRI Wa Ardhi Na Maendeleo Ya Makaazi Mhe.Rahma Kassim Ali Ametoa Wito Kwa Wamiliki Wa Eka Za Serikali Ambao Walipewa Kwa Ajili Ya Matumizi Sahihi Ya Kilimo Kuacha Kuzitumia Eka Hizo Kinyume Na Matumizi Hayo

Mhe Rahma alitoa kauli hiyo wakati alipofanya ziara zake ya kutembelea baadhi ya Eka Wilaya ya Magharibi A”na “B”ambapo imebainika kua kuna baadhi ya wenye Eka hizo huzikata viwanja na kuziuza kinyume na matumizi sahihi yaliwekwa na Serikali. Aidha alifahamisha kua Wizara itahakikisha inazifatilia kwa makini Eka zote za Serikali na yoyote atakaekundulikana kwenda kinyume

WAZIRI Wa Ardhi Na Maendeleo Ya Makaazi Mhe.Rahma Kassim Ali Ametoa Wito Kwa Wamiliki Wa Eka Za Serikali Ambao Walipewa Kwa Ajili Ya Matumizi Sahihi Ya Kilimo Kuacha Kuzitumia Eka Hizo Kinyume Na Matumizi Hayo Read More »