Kikao hicho kilihusisha majadiliano kuhusiana na uanzishwaji wa Kituo cha Ubunifu cha Mambo ya Kijografia Zanzibar ( Zanzibar Geo-Innovation Centre ) na mradi wa National Spatial Data Infrastructure –NSDI.
Katika tukio hilo muhimu, pia lilihudhuriwa na Mkurugenzi Mipango, Sera na Utafiti Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Ndg. Ilyasa Pakacha Haji pamoja na Mrajisi wa Ardhi Dkt. Nassir Hikmany kutoka Kamisheni ya Ardhi, kikao kilicho fanyika tarehe 18/09/2023 Ukumbi wa Wizara Maisara Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Dkt. Mngereza Mzee Miraji akiongoza kikao cha pamoja na wataalamu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makaazi SMT pamoja na mtaalamu Mr. Munseok Lee kutoka Kampuni ya Hojung Solution Co Ltd.
![](https://ardhismz.go.tz/wp-content/uploads/2023/09/DSC_9751-1-1024x683.jpg)
News
Announcement
News
July 13, 2024
Mhe. Salha ameyasema hayo wakati wa kikao cha pamoja baina ya Uongozi wa Wizara, Mkoa, Jimbo na wananchi
June 21, 2024
Wafanyabiashara wa mabanda ya papa katika eneo la Malindi wamempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Announcement
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.