Katika ziara hiyo Katibu Mkuu, Naibu Katibu pamoja na watendaji wa wizara walitembelea Afisi zote za mahakama zilizopo Unguja.
Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Zanzibar Is-haka Ali Khamis akimpatia maelezo Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Ndugu Khadija Khamis Rajab wakati alipotembelea katika Afisi za Mahakama hiyo Mwanakwereke Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
![](https://ardhismz.go.tz/wp-content/uploads/2024/05/WhatsApp-Image-2024-05-09-at-3.05.22-PM-1024x682.jpeg)
News
Announcement
News
July 13, 2024
Mhe. Salha ameyasema hayo wakati wa kikao cha pamoja baina ya Uongozi wa Wizara, Mkoa, Jimbo na wananchi
June 21, 2024
Wafanyabiashara wa mabanda ya papa katika eneo la Malindi wamempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Announcement
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.