Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Majukumu Yetu

  • Kutunga na kisimamia utekelezaji wa sera za kisekta na sheria zinazohusiana na Ardhi, Nyumba na Makaazi
  • Kufanya tafiti zinazohusiana na maendeleo ya sekta ya Ardhi na Makaazi
  • Kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa mipango ya matumizi bora ya Ardhi
  • Kusimamia mipango ya upimaji na utoaji wa ramani za nchi 
  • Kusimamia utambuzi, usajili na umiliki wa Ardhi
  • Kushajihisha uwekezaji katika ujenzi wa nyumba bora