SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

WIZARA YA ARDHI NA MAEDELEO YA MAKAAZI

 

Dira

Kuwa muhimili wa uhakika na wa usalama wa umiliki na matumizi ya Ardhi na Makaazi endelevu kwa maendeleo ya kiuchumi Zanzibar.

Dhamira

Kuhakikisha kwamba Ardhi ya Zanzibar inatoa mchango mkubwa kwa ustawi wa Taifa kupitia mipango bora ya matumizi ya Ardhi kwa ajili ya huduma za makaazi na kiuchumi

Misingi ya Wizara

Ujuzi, Uwajibikaji, Uwazi, Usawa, Ubunifu, Uadilifu na Mashirikiano