SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

WIZARA YA ARDHI NA MAEDELEO YA MAKAAZI

Waziri wa Aridhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe. Rahma Kassim Ali amehimiza Uwajibikaji na kutoa huduma bori kwa Setka ya Ardhi ili kuepusha Migogoro isio ya lazima kwa jamii.

Mhe. Rahma amesema hayo katika Afisi ya Kamisheni ya Ardhi wakati akizungumza na wafanyakazi katika kikao maalum kilichowashirikisha watendaji hao chenye lengo la kukuza ufanisi wa kiutendaji wa ofisi hiyo

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Mhe.Salha Mohammed Mwinjuma amewahimiza watendaji wa Kamisheni ya Ardhi kuongeza kasi utendaji kazi na ufanifu katika kuwahudumikia wananchi ili kutimiza adhma ya Serikali